Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ilipokea maombi ya marekebisho ya bei za huduma za maji safi kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Babati. Wadau wanaombwa kuwasilisha maoni kwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA kupitia anuani iliyotajwawakati wowote hadi tarehe 14 Novemba. 2022.
Soma zaidi :-Mwito wa kutoa maoni
Call For Stakeholders Views Babati WSSA
Views: 225